This website uses cookies. For further information on how we use cookies you can read our Privacy and Cookie notice
Few units left
Promotions
Delivery & Returns
Choose your location
Door Delivery
Pickup Station
Return Policy
Easy Return, Quick Refund.See more
Seller Information
Teknobyte Limited
New Seller
Be the first to follow
Seller Performance
This seller does not have enough history for us to evaluate his performance yet
Product details
Nimepoteza Tena na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.
Kikechi Kombo B. ana Shahada ya elimu na sanaa na shahada ya uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ni mwalimu mwenye tajiriba pana katika lugha na fasihi ya Kiswahili kwa miaka mingi. Hushiriki uchambuzi wa lugha na fasihi katika Idhaa ya Radio Taifa- KBC. Ameandika vitabu vya marudio katika lugha ya Kiswahili na miongozo tolatola mathalan mwongozo wa Chozi la Heri, mwongozo wa Kigogo, mwongozo wa Kidagaa Kimemwozea na mwongozo wa Mstahiki Meya. Amechangia pia katika kitabu cha marudio cha Kioo Cha KCSE, Mwongozo wa Nguu za Jadi na Mapambazuko ya Machweo na hadithi nyingine miongoni mwa vitabu vingine.
Kenna Wasike ni mwandishi wa kazi za fasihi. Ameandika kazi aula za bunilizi. Aidha, amechangia katika uandishi wa hadithi fupi. Hadithi yake maarufu ni ‘Mapenzi ya Kifaurongo’ katika mkusanyiko wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Vilevile, amechangia katika uandishi wa kitabu cha marudio ya fasihi. Kwa sasa yeye ni mwalimu wa Kiswahili katika Shule ya wavulana ya Chesamisi iliyoko gatuzi la Bungoma nchini Kenya.
Specifications
Key Features
- Ni rahisi kusoma na kuelewa.
- Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji.
- Waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi.
- Hadithi zenyewe ni za kusisimua.
What’s in the box
Specifications
- SKU: JU506BM1XSVUXNAFAMZ
- Model: N/A
- Production Country: Kenya
- Weight (kg): 0.3
- Main Material: Paper
- Shop Type: Jumia Mall
Customer Feedback
This product has no ratings yet.
/product/17/2411611/1.jpg?3127)