product_image_name-Jumia Books-Nimepoteza Tena Na Hadithi Nyingine-1product_image_name-Jumia Books-Nimepoteza Tena Na Hadithi Nyingine-2

Share this product

Jumia Books Nimepoteza Tena Na Hadithi Nyingine

KSh 495
KSh 60018%

Few units left

+ shipping from KSh 102 to CBD - UON/Globe/Koja/River Road

Promotions

Delivery & Returns

Choose your location

Door Delivery

Delivery KSh 134
Ready for delivery between 03 June & 05 June when you order within next 8hrs 48mins

Pickup Station

Delivery KSh 102
Ready for pickup between 03 June & 05 June when you order within next 8hrs 48mins

Return Policy

Easy Return, Quick Refund.See more

Seller Information

Teknobyte Limited

New Seller

Be the first to follow

Follow

Seller Performance

This seller does not have enough history for us to evaluate his performance yet

Product details

Nimepoteza Tena na Hadithi Nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi zinazolenga hadhira ya wanafunzi, wasomaji wa kawaida na wataalamu wowote wale. Huu ni mkusanyiko unaowaleta pamoja waandishi walio na viwango vya juu vya ubunifu na ukwasi wa lugha. Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji. Bila shaka, msomaji yeyote wa mkusanyiko huu atagundua kuwa waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi, fauka ya kuwa wengine wao wanalimbukia fasihi andishi. Naam, ulimbukeni wao umeleta sura ngeni katika ulimwengu wa fasihi andishi.

Kikechi Kombo B. ana Shahada ya elimu na sanaa na shahada ya uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ni mwalimu mwenye tajiriba pana katika lugha na fasihi ya Kiswahili kwa miaka mingi. Hushiriki uchambuzi wa lugha na fasihi katika Idhaa ya Radio Taifa- KBC. Ameandika vitabu vya marudio katika lugha ya Kiswahili na miongozo tolatola mathalan mwongozo wa Chozi la Heri, mwongozo wa Kigogo, mwongozo wa Kidagaa Kimemwozea na mwongozo wa Mstahiki Meya. Amechangia pia katika kitabu cha marudio cha Kioo Cha KCSE, Mwongozo wa Nguu za Jadi na Mapambazuko ya Machweo na hadithi nyingine miongoni mwa vitabu vingine.

Kenna Wasike ni mwandishi wa kazi za fasihi. Ameandika kazi aula za bunilizi. Aidha, amechangia katika uandishi wa hadithi fupi. Hadithi yake maarufu ni ‘Mapenzi ya Kifaurongo’ katika mkusanyiko wa Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Vilevile, amechangia katika uandishi wa kitabu cha marudio ya fasihi. Kwa sasa yeye ni mwalimu wa Kiswahili katika Shule ya wavulana ya Chesamisi iliyoko gatuzi la Bungoma nchini Kenya.

Specifications

Key Features

  • Ni rahisi kusoma na kuelewa.
  • Hadithi zilizomo kwa ujumla zinagusa nafasi na nafsi ya msomaji.
  • Waandishi wake ni wenye uwezo mkubwa katika utunzi.
  • Hadithi zenyewe ni za kusisimua.

What’s in the box

Nimepoteza Tena na Hadithi Nyingine 

Specifications

  • SKU: JU506BM1XSVUXNAFAMZ
  • Model: N/A
  • Production Country: Kenya
  • Weight (kg): 0.3
  • Main Material: Paper
  • Shop Type: Jumia Mall

Customer Feedback

This product has no ratings yet.

Jumia Books Nimepoteza Tena Na Hadithi Nyingine

Jumia Books Nimepoteza Tena Na Hadithi Nyingine

KSh 495
KSh 60018%
Questions about this product?

Recently Viewed

See All