HomeBooks, Movies and MusicBestselling BooksKiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 1
product_image_name-Generic-Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 1-1

Share this product

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 1

KSh 2,800
KSh 3,60022%

In stock

+ shipping from KSh 90 to CBD - UON/Globe/Koja/River Road
0 out of 5
(No ratings available)

Promotions

Delivery & Returns

Choose your location

Pickup Station

Delivery Fees KSh 90
Ready for pickup between 02 January and 05 January if you place your order within the next 6hrs 56mins

Door Delivery

Delivery Fees KSh 200
Ready for delivery between 02 January and 05 January if you place your order within the next 6hrs 56mins

Return Policy

Easy Return, Quick Refund.Details

Seller Information

New Enterprise 001

New Seller

4 Followers

Follow

Seller Performance

This seller does not have enough history for us to evaluate his performance yet

Product details

Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya I

Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vitivyoandikwa kwa utaatamu na upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtataa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma na Kuandika, na vilevite Sarufi. Aidha, vino mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia, vinakuza umilisi utiopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.

Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya I , utapata:

mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtaala mpya.

mifano halisi ya miktadha ambayo lugha hutumika.

mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuti za kijamii zinazokuza ujifunzaji.

mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.

mazoezi yanayompa mwanafunzi fursa ya kujitathmini.

Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya I king Mwongozo wa Mwatimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwatimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtataa huu mpya wa umilisi.

Oxford, mshirika wako katika ufanisi!

Specifications

Key Features

Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya I

Kiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vitivyoandikwa kwa utaatamu na upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtataa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma na Kuandika, na vilevite Sarufi. Aidha, vino mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia, vinakuza umilisi utiopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.

Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya I , utapata:

  • mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtaala mpya.
  • mifano halisi ya miktadha ambayo lugha hutumika.
  • mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuti za kijamii zinazokuza ujifunzaji.
  • mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
  • mazoezi yanayompa mwanafunzi fursa ya kujitathmini.

Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya I king Mwongozo wa Mwatimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwatimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtataa huu mpya wa umilisi.

Oxford, mshirika wako katika ufanisi!

What’s in the box

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 1

Specifications

  • SKU: GE840BM4ZDW5INAFAMZ
  • GTIN Barcode: 09789914444223
  • Weight (kg): 0.36kgs

Customer Feedback

This product has no ratings yet.

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 1

Kiswahili Dadisi Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi 1

KSh 2,800
KSh 3,60022%
Questions about this product?

Recently Viewed

See All