HomeBooks, Movies and MusicBestselling BooksKiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 7
product_image_name-Generic-Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 7-1

Share this product

Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 7

KSh 2,900
KSh 3,80024%

In stock

+ shipping from KSh 90 to CBD - UON/Globe/Koja/River Road
0 out of 5
(No ratings available)

Promotions

Delivery & Returns

Choose your location

Pickup Station

Delivery Fees KSh 90
Ready for pickup between 02 January and 05 January if you place your order within the next 1hrs 58mins

Door Delivery

Delivery Fees KSh 200
Ready for delivery between 02 January and 05 January if you place your order within the next 1hrs 58mins

Return Policy

Easy Return, Quick Refund.Details

Seller Information

New Enterprise 001

New Seller

4 Followers

Follow

Seller Performance

This seller does not have enough history for us to evaluate his performance yet

Product details

Kiswahili Fasaha ni msururu ulioandikwa kwa njia ya kipekee na unaokidhi mahitaji yote ya Mtaala wa Kiumilisi. Vitabu katika msururu huu vina shughuli anuwai ambazo zinalenga kumsaidia mwanafunzi kupata umilisi, maadili na masuala mtambuko yanayokusudiwa katika mtaala.

Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 7 kina:

Shughuli mbalimbali zitakazomwezesha mwanafunzi kupata stadi zote nne za lugha – Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika – pamoja na matumizi ya sarufi kimkutadha

Sehemu za Zinduo ambazo zinatoa maelezo ya kina kuhusu dhana husika

Sehemu za Elimujamii ambazo zinampa mwanafunzi nafasi ya kuendeleza ujifunzaji wake nje ya darasa

Sehemu za Dijitika ambazo kwazo mwanafunzi ana nafasi ya kutangamana na vifaa vya kidijitali katika kufanya mazoezi

Michoro ya rangi inayochangia uelewa wa dhana zinazofunzwa

Tathmini binafsi baada ya kila mada kuu ili kumsaidia mwanafunzi kupima uelewa wake wa dhana husika

Sehemu ya Tafakari mwishoni mwa kila suala kuu, ambayo inalenga kumpa mwanafunzi ari ya kutumia aliyojifunza ili kuboresha hali yake na ya jamii nzima.

Specifications

Key Features

Kiswahili Fasaha ni msururu ulioandikwa kwa njia ya kipekee na unaokidhi mahitaji yote ya Mtaala wa Kiumilisi. Vitabu katika msururu huu vina shughuli anuwai ambazo zinalenga kumsaidia mwanafunzi kupata umilisi, maadili na masuala mtambuko yanayokusudiwa katika mtaala.

Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 7 kina:

  • Shughuli mbalimbali zitakazomwezesha mwanafunzi kupata stadi zote nne za lugha – Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika – pamoja na matumizi ya sarufi kimkutadha
  • Sehemu za Zinduo ambazo zinatoa maelezo ya kina kuhusu dhana husika
  • Sehemu za Elimujamii ambazo zinampa mwanafunzi nafasi ya kuendeleza ujifunzaji wake nje ya darasa
  • Sehemu za Dijitika ambazo kwazo mwanafunzi ana nafasi ya kutangamana na vifaa vya kidijitali katika kufanya mazoezi
  • Michoro ya rangi inayochangia uelewa wa dhana zinazofunzwa
  • Tathmini binafsi baada ya kila mada kuu ili kumsaidia mwanafunzi kupima uelewa wake wa dhana husika
  • Sehemu ya Tafakari mwishoni mwa kila suala kuu, ambayo inalenga kumpa mwanafunzi ari ya kutumia aliyojifunza ili kuboresha hali yake na ya jamii nzima.

What’s in the box

Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 7

Specifications

  • SKU: GE840BM57CVXYNAFAMZ
  • GTIN Barcode: 09789914441482
  • Weight (kg): 0.4kgs

Customer Feedback

This product has no ratings yet.

Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 7

Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 7

KSh 2,900
KSh 3,80024%
Questions about this product?

Recently Viewed

See All