HomeBooks, Movies and MusicBestselling BooksKiswahili Fasaha Learner’s Book 9 .
product_image_name-Generic-Kiswahili Fasaha Learner’s Book 9 .-1

Share this product

Kiswahili Fasaha Learner’s Book 9 .

KSh 2,900
KSh 3,70022%

In stock

+ shipping from KSh 90 to CBD - UON/Globe/Koja/River Road
0 out of 5
(No ratings available)

Promotions

Delivery & Returns

Choose your location

Pickup Station

Delivery Fees KSh 90
Ready for pickup between 30 January and 02 February if you place your order within the next 22hrs 27mins

Door Delivery

Delivery Fees KSh 200
Ready for delivery between 30 January and 02 February if you place your order within the next 22hrs 27mins

Return Policy

Easy Return, Quick Refund.Details

Seller Information

New Enterprise 001

94%Seller Score

4 Followers

Follow

Seller Performance

Shipping speed: Good

Quality Score: Excellent

Product details

Oxford Kiswahili Fasaha ni msururu ulioandikwa kwa njia ya kipekee na unaokidhi mahitaji yote ya Mtaala wa Kiumilisi. Vitabu katika msururu huu vina shughuli anuwai ambazo zinalenga kumsaidia mwanafunzi kupata umilisi, maadili na masuala mtambuko yanayokusudiwa katika mtaala.

Oxford Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 9 kina:

Shughuli mbalimbali zitakazomwezesha mwanafunzi kupata stadi zote nne za lugha – Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika – pamoja na matumizi ya sarufi kimuktadha.

Sehemu za Zinduo ambazo zinatoa maelezo ya kina kuhusu dhana husika.

Sehemu za Elimujamii ambazo zinampa mwanafunzi nafasi ya kuendeleza ujifunzaji wake nje ya darasa.

Sehemu za Dijitika ambazo kwazo mwanafunzi ana nafasi ya kutangamana na vifaa vya kidijitali katika kufanya mazoezi.

Michoro ya rangi inayochangia uelewa wa dhana zinazofunzwa.

Tathmini binafsi baada ya kila mada kuu ili kumsaidia mwanafunzi kupima uelewa wake wa dhana husika.

Sehemu ya Tafakari mwishoni mwa kila suala kuu, ambayo inalenga kumpa mwanafunzi ari ya kutumia aliyojifunza ili kuboresha hali yake na ya jamii nzima.

Kila Kitabu cha Mwanafunzi katika msururu huu kina Mwongozo wa Mwalimu.

Oxford, mshirika wako katika ufanisi!

Specifications

Key Features

Oxford Kiswahili Fasaha ni msururu ulioandikwa kwa njia ya kipekee na unaokidhi mahitaji yote ya Mtaala wa Kiumilisi. Vitabu katika msururu huu vina shughuli anuwai ambazo zinalenga kumsaidia mwanafunzi kupata umilisi, maadili na masuala mtambuko yanayokusudiwa katika mtaala.

Oxford Kiswahili Fasaha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 9 kina:

  • Shughuli mbalimbali zitakazomwezesha mwanafunzi kupata stadi zote nne za lugha – Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika – pamoja na matumizi ya sarufi kimuktadha.
  • Sehemu za Zinduo ambazo zinatoa maelezo ya kina kuhusu dhana husika.
  • Sehemu za Elimujamii ambazo zinampa mwanafunzi nafasi ya kuendeleza ujifunzaji wake nje ya darasa.
  • Sehemu za Dijitika ambazo kwazo mwanafunzi ana nafasi ya kutangamana na vifaa vya kidijitali katika kufanya mazoezi.
  • Michoro ya rangi inayochangia uelewa wa dhana zinazofunzwa.
  • Tathmini binafsi baada ya kila mada kuu ili kumsaidia mwanafunzi kupima uelewa wake wa dhana husika.
  • Sehemu ya Tafakari mwishoni mwa kila suala kuu, ambayo inalenga kumpa mwanafunzi ari ya kutumia aliyojifunza ili kuboresha hali yake na ya jamii nzima.

Kila Kitabu cha Mwanafunzi katika msururu huu kina Mwongozo wa Mwalimu.

Oxford, mshirika wako katika ufanisi!

What’s in the box

Kiswahili Fasaha Learner’s Book 9

Specifications

  • SKU: GE840BM5P3H7UNAFAMZ
  • GTIN Barcode: 09789914442953
  • Weight (kg): 0.42kgs

Customer Feedback

This product has no ratings yet.

Kiswahili Fasaha Learner’s Book 9 .

Kiswahili Fasaha Learner’s Book 9 .

KSh 2,900
KSh 3,70022%
Questions about this product?

Recently Viewed

See All