This website uses cookies
This website uses cookies. For further information on how we use cookies you can read our Privacy and Cookie notice
This website uses cookies. For further information on how we use cookies you can read our Privacy and Cookie notice
In stock
Easy Return, Quick Refund.Details
New Enterprise 001
New Seller
4 Followers
This seller does not have enough history for us to evaluate his performance yet
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 10
Kitabu hiki kina sifa zifuatazo.
*Kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtaala wa Kiumilisi.
*Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha:
*Kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi.
*Kimetumia lugha nyepesi inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
*Kina mazoezi muhimu ya kumtathmini mwanafunzi na kujitathmini.
*Kina tathmini mwishoni mwa kila sura ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio zaidi.
Waandishi wa kitabu hiki-wane-tajriba kubwa katika ufundishaji wa somo la kiswahili katika shule tajika nchini Kenya.
Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 10
Kitabu hiki kina sifa zifuatazo.
*Kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtaala wa Kiumilisi.
*Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha:
*Kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi.
*Kimetumia lugha nyepesi inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
*Kina mazoezi muhimu ya kumtathmini mwanafunzi na kujitathmini.
*Kina tathmini mwishoni mwa kila sura ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio zaidi.
Waandishi wa kitabu hiki-wane-tajriba kubwa katika ufundishaji wa somo la kiswahili katika shule tajika nchini Kenya.
Mentor Kielekezi cha Kiswahili GD10 (Rtd)
This product has no ratings yet.
/product/15/6794623/1.jpg?2419)
Subscribe to our newsletter
and be the first one to know about our amazing deals