product_image_name-Generic-Wema Hauozi (Access)-1

Share this product

Wema Hauozi (Access)

KSh 1,200
KSh 1,60025%

In stock

+ shipping from KSh 90 to CBD - UON/Globe/Koja/River Road
0 out of 5
(No ratings available)

Promotions

Delivery & Returns

Choose your location

Pickup Station

Delivery Fees KSh 90
Ready for pickup between 02 January and 05 January if you place your order within the next 18hrs 31mins

Door Delivery

Delivery Fees KSh 200
Ready for delivery between 02 January and 05 January if you place your order within the next 18hrs 31mins

Return Policy

Easy Return, Quick Refund.Details

Seller Information

New Enterprise 001

New Seller

4 Followers

Follow

Seller Performance

This seller does not have enough history for us to evaluate his performance yet

Product details

Wema Hauozi ni tamthilia fupi inayochunguza mgonganokati ya wenye tamaa ya kutenda maovu na wenye kero dhidi ya tamaa hiyo. Mgongano huu una madhara makubwa kwa wenye ujasiri wa kukemea maovu hayo lakini yote hayo ni kwa muda tu. Kumbe ipo siku juhudi za kuuzika wema hushindwa na badala yake mbegu ya wema huchipuza na kuzagaza matawi yake kwa kila kiumbe kuona. Tamthilia hii yenye ucheshi imeandikwa kwa ufundi mkubwa unaokuacha ukiwa unajiuliza maswali ya kufikirisha ufikapo mwishoni.

Dkt. Timothy M. Arege ni mwandishi wa tamthilia, mashairi na hadithi fupi. Tamthilia zake nyingine ni Chamchela, Mstahiki Meya, Kijiba cha Moyo, Majira ya Utasa, Duara, Si Shwari na Bembea ya Maisha. Kwa sasa Arege ni Mhadhiri Mkuu katika Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Kenyatta.

Specifications

Key Features

Wema Hauozi ni tamthilia fupi inayochunguza mgonganokati ya wenye tamaa ya kutenda maovu na wenye kero dhidi ya tamaa hiyo. Mgongano huu una madhara makubwa kwa wenye ujasiri wa kukemea maovu hayo lakini yote hayo ni kwa muda tu. Kumbe ipo siku juhudi za kuuzika wema hushindwa na badala yake mbegu ya wema huchipuza na kuzagaza matawi yake kwa kila kiumbe kuona. Tamthilia hii yenye ucheshi imeandikwa kwa ufundi mkubwa unaokuacha ukiwa unajiuliza maswali ya kufikirisha ufikapo mwishoni.

Dkt. Timothy M. Arege ni mwandishi wa tamthilia, mashairi na hadithi fupi. Tamthilia zake nyingine ni Chamchela, Mstahiki Meya, Kijiba cha Moyo, Majira ya Utasa, Duara, Si Shwari na Bembea ya Maisha. Kwa sasa Arege ni Mhadhiri Mkuu katika Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Kenyatta.

What’s in the box

Wema hauozi

Specifications

  • SKU: GE840BM54CZOMNAFAMZ
  • GTIN Barcode: 09789914729504
  • Weight (kg): 0.3kgs

Customer Feedback

This product has no ratings yet.

Wema Hauozi (Access)

Wema Hauozi (Access)

KSh 1,200
KSh 1,60025%
Questions about this product?

Recently Viewed

See All