product_image_name-Jumia Books-Kamusi ya Karne ya 21-1product_image_name-Jumia Books-Kamusi ya Karne ya 21-2

Share this product

Jumia Books Kamusi ya Karne ya 21

KSh 2,040

9 units left

+ shipping from KSh 90 to CBD - UON/Globe/Koja/River Road
Variation available

Promotions

Delivery & Returns

Choose your location

Pickup Station

Delivery Fees KSh 90
Ready for pickup between 27 November and 29 November if you place your order within the next 6hrs 20mins

Door Delivery

Delivery Fees KSh 200
Ready for delivery between 27 November and 29 November if you place your order within the next 6hrs 20mins

Return Policy

Easy Return, Quick Refund.Details

Seller Information

French Librairie

98%Seller Score

2 Followers

Follow

Seller Performance

Shipping speed: Excellent

Quality Score: Excellent

Customer Rating: Excellent

Product details

Kamusi ya Karne ya 21 (Toleo la 5) ni kamusi ya Kiswahili yenye uketo zaidi katika karne hii. Imetungwa kwa ustadi wa hali ya juu na wanaleksikografia wenye utaalamu na uzoefu wa uundaji wa kamusi. Ni kamusi inayojivunia upekee unaodhihirisha jinsi lugha ya Kiswahili inavyokwenda na wakati kwa kupanuka katika matumizi yake katika pembe zote za dunia. Toleo hili limeongezwa vidahizovipya zaidi ya 2500 ambavyo vinaashiria maendeleo mapya katika lugha ya Kiswahili. Kamusi hii inaonyesha ukuaji wa Kiswahili na matumizi yake katika nyanja zote za Siasa, Sayansi, Teknolojia ya kidijitali, mitandao ya kijamii, ubadilishanaji wa fedha na bidhaa kupitia kwa mifumo ya kimtandao miongoni mwa mengine.

Specifications

Key Features

Kamusi ya Karne ya 21 (Toleo la 5) ni kamusi ya Kiswahili yenye uketo zaidi katika karne hii. Imetungwa kwa ustadi wa hali ya juu na wanaleksikografia wenye utaalamu na uzoefu wa uundaji wa kamusi. Ni kamusi inayojivunia upekee unaodhihirisha jinsi lugha ya Kiswahili inavyokwenda na wakati kwa kupanuka katika matumizi yake katika pembe zote za dunia. Toleo hili limeongezwa vidahizovipya zaidi ya 2500 ambavyo vinaashiria maendeleo mapya katika lugha ya Kiswahili. Kamusi hii inaonyesha ukuaji wa Kiswahili na matumizi yake katika nyanja zote za Siasa, Sayansi, Teknolojia ya kidijitali, mitandao ya kijamii, ubadilishanaji wa fedha na bidhaa kupitia kwa mifumo ya kimtandao miongoni mwa mengine.

Specifications

  • SKU: JU506BM3LXR5BNAFAMZ
  • Weight (kg): 0.01

Customer Feedback

See All

Verified Ratings (1)

5/5
5 out of 5

1 verified rating

Product Reviews (0)

This product has no reviews yet.

Jumia Books Kamusi ya Karne ya 21

Jumia Books Kamusi ya Karne ya 21

KSh 2,040
Questions about this product?

Recently Viewed

See All