This website uses cookies. For further information on how we use cookies you can read our Privacy and Cookie notice
0 out of 5
(No ratings available)KSh 600
KSh 69013%
5 units left
+ shipping from KSh 102 to CBD - UON/Globe/Koja/River Road
Promotions
Delivery & Returns
Choose your location
Door Delivery
Delivery KSh 134
Ready for delivery between 03 June & 05 June when you order within next 7hrs 17mins
Pickup Station
Delivery KSh 102
Ready for pickup between 03 June & 05 June when you order within next 7hrs 17mins
Return Policy
Easy Return, Quick Refund.See more
Seller Information
Teknobyte Limited
New Seller
Be the first to follow
Seller Performance
This seller does not have enough history for us to evaluate his performance yet
Product details
Haya ni “MAISHA YA MJINI” yenye wingi wa misururu ya visa na mikasaa…Ndilo VUMBA hilo la maisha! Au ni SHOMBO? Litatakaswa na nani? JE, TUFANYEJE? Safari inang’oa nanga sasa. Safari yenye pandashuka ya maisha. Haya mjukuu wangu! keti kitako, ubwabwa koponi, kitabu mkononi!
Hassan Mwana wa Ali ni mhariri wa habari za michezo katika shirika la Standard. Licha ya kutangaza mpira na vipindi vya michezo, yeye ndiye nahodha wa kipindi cha NURU YA LUGHA, Radio Maisha kila siku za Jumamosi, saa moja hadi tano asubuhi. Aidha, huchangia makala mbalimbali ya elimu, siasa, dini na kadhalika katika gazeti la Taifa Leo na jarida la Nairobian, na ni mshereheshaji wa sherehe mbalimbali. Vilevile, ameandika kazi kadha wa kadha za Fasihi ikiwemo, riwaya ya PICHA YA KARNE iliyoshinda tuzo ya Jomo Kenyatta mwaka 2019. Hadithi zake zinapatikana kwenye mikusanyiko kadha wa kadha kama vile GITAA, SINA ZAIDI, MASKINI MILIONEA, KUNANI MAREKANI, UTASHI WA DOLA, KITI CHA SIMANZI na kadhalika.
Amewahi kushinda tuzo ya mtangazaji bora wa soka nchini Kenya mwaka 2011; mwanahabari bora wa michezo redioni mwaka 2021/2022 na tuzo za wanahabari nchini, AJEA. Pia ametuzwa mara kadhaa kwenye tuzo za kila mwaka za KUMIKUMI ambazo huandaliwa WASTA. Fauka ya haya, amechangia katika ukusanyaji wa maneno kwenye baadhi ya KAMUSI.
Hassan Mwana wa Ali ni mhariri wa habari za michezo katika shirika la Standard. Licha ya kutangaza mpira na vipindi vya michezo, yeye ndiye nahodha wa kipindi cha NURU YA LUGHA, Radio Maisha kila siku za Jumamosi, saa moja hadi tano asubuhi. Aidha, huchangia makala mbalimbali ya elimu, siasa, dini na kadhalika katika gazeti la Taifa Leo na jarida la Nairobian, na ni mshereheshaji wa sherehe mbalimbali. Vilevile, ameandika kazi kadha wa kadha za Fasihi ikiwemo, riwaya ya PICHA YA KARNE iliyoshinda tuzo ya Jomo Kenyatta mwaka 2019. Hadithi zake zinapatikana kwenye mikusanyiko kadha wa kadha kama vile GITAA, SINA ZAIDI, MASKINI MILIONEA, KUNANI MAREKANI, UTASHI WA DOLA, KITI CHA SIMANZI na kadhalika.
Amewahi kushinda tuzo ya mtangazaji bora wa soka nchini Kenya mwaka 2011; mwanahabari bora wa michezo redioni mwaka 2021/2022 na tuzo za wanahabari nchini, AJEA. Pia ametuzwa mara kadhaa kwenye tuzo za kila mwaka za KUMIKUMI ambazo huandaliwa WASTA. Fauka ya haya, amechangia katika ukusanyaji wa maneno kwenye baadhi ya KAMUSI.
Specifications
Key Features
- Mwandishi ni Hassan Mwana wa Ali
- Lugha nyepesi kusoma na kuelewa
- Hadithi inayoeleza pandashuka ya maisha kwa ubunifu
- Hadithi inayosisimua msomaji
What’s in the box
Vumba by Hassan Mwana wa Ali
Specifications
- SKU: JU506BM1D3CPDNAFAMZ
- Model: N/A
- Production Country: Kenya
- Weight (kg): 0.4
- Main Material: Paper
- Shop Type: Jumia Mall
Customer Feedback
This product has no ratings yet.
/product/82/457617/1.jpg?9036)
Jumia Books Vumba
KSh 600
KSh 69013%
Questions about this product?