This website uses cookies. For further information on how we use cookies you can read our Privacy and Cookie notice
In stock
Promotions
Delivery & Returns
Choose your location
Pickup Station
Door Delivery
Return Policy
Easy Return, Quick Refund.Details
Seller Information
P&C bookshop
66%Seller Score
3 Followers
Seller Performance
Order Fulfillment Rate: Very Poor
Quality Score: Excellent
Customer Rating: Excellent
Product details
Kamusi ya Karne ya 21(Toleo la 4) ni kamusi ya Kiswahili yenye uketo zaidi katika karne hii. Imetungwa kwa ustadi wa hali ya juu na wanaleksikografia wenye utaalamu na uzoefu wa uundaji wa kamusi. Ni kamusi inayojivunia upekee unaodhihirisha jinsi lugha ya Kiswahili inavyokwenda na wakati kwa kupanuka katika matumizi yake katika pembe zote za dunia. Toleo hili limeongezwa vidahizovipya zaidi ya 2500 ambavyo vinaashiria maendeleo mapya katika lugha ya Kiswahili. Kamusi hii inaonyesha ukuaji wa Kiswahili na matumizi yake katika nyanja zote za Siasa, Sayansi, Teknolojia ya kidijitali, mitandao ya kijamii, ubadilishanaji wa fedha na bidhaa kupitia kwa mifumo ya kimtandao miongoni mwa mengine.
Specifications
Key Features
- Toleo la 4
- Kiswahili sanifu
- Ina maelezo ya kutosha
- Imeidhinishwa kwa matumizi ya shule
Specifications
- SKU: JU506BM2IDN3WNAFAMZ
- Weight (kg): 0.001
Customer Feedback
This product has no ratings yet.