product_image_name-Storymoja-Cheche Za Kiswahili Kitabu Zha Mwanafunzi Gredi Ya 7 By Storymoja-1

Share this product

Storymoja Cheche Za Kiswahili Kitabu Zha Mwanafunzi Gredi Ya 7 By Storymoja

KSh 700

In stock

+ shipping from KSh 69 to CBD - UON/Globe/Koja/River Road

Promotions

Delivery & Returns

Choose your location

Pickup Station

Delivery Fees KSh 69
Ready for pickup between 08 May & 09 May when you order within next 5hrs 18mins

Door Delivery

Delivery Fees KSh 129
Ready for delivery between 08 May & 09 May when you order within next 5hrs 18mins

Return Policy

Easy Return, Quick Refund.Details

Seller Information

Storymoja

50%Seller Score

15 Followers

Follow

Seller Performance

Order Fulfillment Rate: Very Poor

Quality Score: Excellent

Product details

Cheche za Kiswahili kwa Gredi ya 7: Kitabu cha Mwanafunzi ni kitabu kilichoandikwa kwa kuzingatia yaliyomo kwenye Mtaala wa Kiumilisi (CBC) ili kumfaa mwanafunzi kutekeleza shughuli mbalimbali za ujifunzaji.
Manufaa ya kitabu hiki
  • Vipengele vyote vya mada mbalimbali kwa mujibu wa mtaala mpya.
  • Ujumuishaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika shughuli za ufunzaji na ujifunzaji wa lugha.
  • Matini ya kimuhtasari kuhusu kila mada ili kumwezesha mwanafunzi kuelewa upesi dhana anazojifunza.
  • Mapendekezo ya nyenzo mbadala zinazoweza kufaraguliwa kwa vifaa vinavyopatikana katika mazingira ya mwanafunzi.
  • Shughuli za nyumbani zitakazosaidia kujenga mahusiano ya kiushirikiano kati ya shule, familia na jamii kwa jumla.
  • Tathmini za kibinafsi baada ya kila mada ili kuwasaidia wanafunzi kupima ujifunzaji wao wa maarifa, ujuzi namaadili.
  • Shughuli tagusani zinazowashirikisha wanafunzi wenye mahitaji maalumu.
  • Masuala mtambuko yamejumuishwa katika shughuli za ujifunzaji.

Specifications

Key Features

Manufaa ya kitabu hiki
  • Vipengele vyote vya mada mbalimbali kwa mujibu wa mtaala mpya.
  • Ujumuishaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika shughuli za ufunzaji na ujifunzaji wa lugha.
  • Matini ya kimuhtasari kuhusu kila mada ili kumwezesha mwanafunzi kuelewa upesi dhana anazojifunza.
  • Mapendekezo ya nyenzo mbadala zinazoweza kufaraguliwa kwa vifaa vinavyopatikana katika mazingira ya mwanafunzi.
  • Shughuli za nyumbani zitakazosaidia kujenga mahusiano ya kiushirikiano kati ya shule, familia na jamii kwa jumla.
  • Tathmini za kibinafsi baada ya kila mada ili kuwasaidia wanafunzi kupima ujifunzaji wao wa maarifa, ujuzi namaadili.
  • Shughuli tagusani zinazowashirikisha wanafunzi wenye mahitaji maalumu.
  • Masuala mtambuko yamejumuishwa katika shughuli za ujifunzaji.

Specifications

  • SKU: ST991BM36FMY5NAFAMZ
  • Model: Revision Book
  • Production Country: Kenya
  • Weight (kg): 0.5
  • Main Material: Paper
  • Shop Type: Jumia Mall

Customer Feedback

This product has no ratings yet.

Storymoja Cheche Za Kiswahili Kitabu Zha Mwanafunzi Gredi Ya 7 By Storymoja

Storymoja Cheche Za Kiswahili Kitabu Zha Mwanafunzi Gredi Ya 7 By Storymoja

KSh 700
Questions about this product?

Recently Viewed

See All